Kisangu (lugha ya Tanzania)

Kisangu (au Kisango; pia huitwa Kirori) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wasangu.

Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisangu iko katika kundi la G60.

Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kisangu ilihesabiwa kuwa watu 75,000.


Developed by StudentB