Korea Kusini

대한민국 Daehan Minguk
Jamhuri ya Korea
Bendera ya Korea ya Kusini Nembo ya Korea ya Kusini
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: 널리 인간을 이롭게 하라 "Lete faida kwa watu wote"
Wimbo wa taifa: Aegukga
(Wimbo la Taifa)
Lokeshen ya Korea ya Kusini
Mji mkuu Seoul
37°35′ N 127°0′ E
Mji mkubwa nchini Seoul
Lugha rasmi Kikorea
Serikali Jamhuri
Moon Jae-in (문재인 , 文在寅)
Kim Boo-kyum (김부겸 , 金富謙)
Kuundwa kwa
Ufalme wa Gojoseon
Tangazo la uhuru bado chini ya Japani
Ukombozi kutoka utawala wa Japani
Jamhuri ya kwanza
ilitambuliwa na Umoja wa Mataifa

3 Oktoba 2333 KKa
1 Machi 1919
15 Agosti 1945
15 Agosti1948
12 Desemba 1948
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
100,210 km² (ya 108)
0.3
Idadi ya watu
 - Julay 2014 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
50,617,045 (ya 26)
505.1/km² (ya 13)
Fedha Won ya Korea Kusini (KRW)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
Wakati sanifu wa Korea (UTC+9)
-- (UTC+9)
Intaneti TLD .kr
Kodi ya simu +82

-


Ramani ya Korea ya Kusini

Korea ya Kusini (jina rasmi: Jamhuri ya Korea) ni nchi ya Asia ya Mashariki iliyopo kusini mwa rasi ya Korea.

Upande wa kaskazini imepakana na Korea ya Kaskazini. Korea zote mbili zilikuwa nchi moja hadi mwaka 1945 chini ya utawala wa kikoloni wa Japani.

Ng'ambo ya bahari iko Uchina upande wa magharibi na Japani upande wa kusini-mashariki.

Mji mkuu, pia mji mkubwa, ni Seoul ambako karibu nusu ya wakazi wote huishi ama mjini ama katika mazingira yake. Seoul ni kati ya miji muhimu ya biashara na uchumi kimataifa.


Developed by StudentB